Tuesday, May 21, 2013

DIWANI WA CHADEMA IRINGA AKAMATWA

dwn 863ab
Kufuatia vurugu za wamachinga IRINGA, Polisi Mkoani humo leo wamemkamata Diwani wa kata ya  Mivinjeni FRANK NYALUSI(CHADEMA) nakufanya idadi ya waliokamatwa kufuatia sakata hilo kufikia 77.PICHANI Diwani FRENK akiwahutubia wananchi kwenye moja ya mikutano yake ya kichama. Toka kwa Mjengwa.

No comments:

Post a Comment