Kufuatia hotuba ya Wenje bungeni kutuhumu chama cha cuf kuwa ni chama
cha kishoga, mbunge wa CUF amesimama na kuwaita chadema ni wehu, wahuni,
wazushi, mashoga na kwamba wameidhalilisha cuf...
Mbunge huyo wa CUF ameomba spika achukue hatua za dhidi ya chadema
asipofanya hivyo cuf watachukua hatua dhidi ya Chadema na bunge..
Kumetokea vurugu bungeni ambapo spika ameliahirisha bunge hadi jioni.
No comments:
Post a Comment