Tayari hakimu Joyce Msofe ameingia, mahakama imeanza. Anasimama Wakili Method Kimomogoro anajitambulisha.
Hakimu: Hili ni shauri jipya, naomba lisomwe kama inavyostahili.
Lema unashatkiwa kwa kosa moja kinyume na sheria, ulichochea wanafunzi wa chuo cha uhasibu, na kumzomea mkuu wa mkoa kama ifuatavyo, uliwaambia wanafunzi kuwa mkuu wa mkoa hajui chuo cha uhasibu ilipo, na amekuja akiwa amechelewa, anaingia hapa kama anaingia kwenye send off.
Hakimu: Hili ni shauri jipya, naomba lisomwe kama inavyostahili.
Lema unashatkiwa kwa kosa moja kinyume na sheria, ulichochea wanafunzi wa chuo cha uhasibu, na kumzomea mkuu wa mkoa kama ifuatavyo, uliwaambia wanafunzi kuwa mkuu wa mkoa hajui chuo cha uhasibu ilipo, na amekuja akiwa amechelewa, anaingia hapa kama anaingia kwenye send off.
No comments:
Post a Comment